MICHAKATO

Levis Rocky Ndekeno

This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Pages

Friday, April 22, 2016

Mabasi yaendayo kasi yaanza safari zake Dar

Mabasi yaendayo kasi, yameanza kufanya safari zake katikati ya jiji la Dar es Salaam Ijumaa hii.  Jumla ya mabasi 50 yameingia barabarani. Kwa wewe ambaye hujui njia mbalimbali za mabasi hayo, chini ni sehemu yanapopita. 1) RUTI YA KIMARA- KIVUKONI Mabasi Sita (6). Kati ya mabasi Hayo sita...

Chanzo cha kifo cha Prince chabainika, alitumia madaya ya kulevya kumzidi

Muimbaji, Prince alikuwa akitibiwa kutokana na kutumia madawa ya kulevya kupitiliza siku sita kabla ya kifo chake, TMZ wameandika.Kwa mujibu wa tovuti hiyo, ndege binafsi ya Prince ilitua kwa dharura huko Moline, Illinois Ijumaa iliyopita, saa chache baada ya kutumbuiza Atlanta. Kipindi hicho wawakilishi...

Director wa filamu za James Bond afariki akiwa na umri wa miaka 93

Muongazaji wa filamu ya James Bond Guy Hamilton amefariki akiwa na umri wa miaka 93.Aliyekuwa nyota wa filamu hiyo ya 007 Roger Moore alituma ujumbe katika mtandao wake wa Twitter kwamba alihuzunishwa na kifo chake. Hamilton alimuelekeza Roger Moore katika filamu ya Live and Let Die pamoja na The...