MICHAKATO

Levis Rocky Ndekeno

This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Pages

Monday, January 4, 2016

Chuo kikuu cha Garissa chafunguliwa tena

Chuo kikuu cha Garissa kilichofungwa mwaka uliopita baada ya watu 148 kuuawa kwenye shambulio lililotekelezwa na wanamgambo wa al-Shabab, kimefunguliwa tena.

Wafanyakazi wamefika kazini leo huku usalama ukiwa umeimarishwa.

Kila aliyekuwa akiingia katika chuo kikuu hicho kilichoko eneo la kaskazini mashariki mwa Kenya amepekuliwa na maafisa wa usalama.

Kituo cha polisi, ambacho kitakuwa na maafisa zaidi ya 20 wa kutoa ulinzi, kimejengwa ndani ya chuo kikuu hicho.

Kitambulisha mada #GarissaUniversityReopens (Chuo Kikuu cha Garissa chafunguliwa tena) kimekuwa kikivuma katika mtandao wa Twitter nchini Kenya.

Wengi wanasema kufunguliwa kwa chuo hicho kunaonyesha Wakenya hawawezi kuvunjwa moyo na magaidi.

Msimamizi mkuu wa chuo kikuu hicho Prof Ahmed Warfa ameambia MICHAKATO Magazine kwamba wanafunzi wataanza kufika chuoni Jumatatu ijayo tarehe 11 Januari.

Hakukukuwa na sherehe yoyote maalum ya kuadhimisha kufunguliwa upya kwa chuo hicho.

Sunday, January 3, 2016

Trump azungumzia video ya al-Shabab

Mgombea wa urais Marekani Donald Trump kwa mara nyingine ametetea pendekezo lake la kutaka Waislamu wazuiwe kuingia Marekani baada ya wito huo kutumiwa na wapiganaji wa al-Shabab kwenye kanda ya video ya kutafuta wafuasi.

Bw Trump, anayeongoza miongoni mwa wanaotafuta tiketi ya chama cha Republican, amesema watu wamemsifu kwa kuwa na ujasiri wa kuangazia jambo hilo “ambalo wengine wameamua kupuuza”.

Al-Shabaab walitumia maneno hayo ya Trump kwenye video ya propaganda ya kutafuta wafuasi wakisema ubaguzi wa rangi, ukatili wa polisi na chuki dhidi ya Waislamu vimesheheni Marekani.

"Sasa watu wanaanza kuzungumzia hili,” ameambia kituo cha runinga cha CBS News.

Kundi hilo liliweka sehemu ya kanda ya video ya Trump akikariri wito wake wakati wa mkutano wa kampeni kwenye video yao ya propaganda ya karibu saa nzima.

Katika mahojiano na watangazaji wa kipindi cha Face the Nation cha CBS News, ambacho kitapeperushwa baadaye Jumapili, Bw Trump aliulizwa kuhusu jinsi al-Shabab wanatumia matamshi yake kutafuta wafuasi.

Saturday, October 25, 2014

PICHA:YALIOJIRI ST. PETER(OSTERBAY)


























MUNGU IBARIKI NDOA YA VIJANA WAKO NA PIA ITANGULIA FAMILIA WANAYOENDAKUIANZA

Sunday, October 5, 2014

PICHA: GRADUATION EVENTS



















Tunashukuru Mungu kw Designer wa Ndekeno Production team kw kuhitimu masomo yake ya shule ya msingi katika shule ya ST.Ann's iliyopo Mbezi- Makabe 

Thursday, September 18, 2014

Ndekeno Production

Sunday, September 14, 2014

BAPTIST DAY (Sept 2014)



REMNANT CHRISTIAN CENTRE src=

Monday, September 8, 2014

Ndekeno Production



REMNANT CHRISTIAN CENTRE