MICHAKATO

Levis Rocky Ndekeno

This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Pages

Monday, February 1, 2016

Mapacha watenganishwa salama Uswiss

Madaktari nchini Uswiss wanasema kuwa wameweza kuwatenganisha watoto mapacha wa kike wa siku nane waliozaliwa huku viungo vyao vikiwa vimeshikana , wanaoaminiwa kuwa wachanga zaidi kuwahi kutenganishwa.
Mapacha hao , waliozaliwa mwezi Disemba walikua wameungana kwenye maini na kifua.
 Vyombo vya habari vya Uswis vinasema kua mpango wa awali wa madaktari ulikua ni kuwatenganisha baada ya miezi kadhaa, lakini walisogeza mbele tarehe ya upasuaji wao baada ya kila mmoja wao kupata hali inayotishia uhai wao . Imeripotiwa kua mafanikio ya upasuaji huo yalikua ni ya 1% .
Mapacha hao wanaoitwa Lydia and Maya, walizaliwa wiki nane kabla ya muda kamili wa kuzaliwa katika hospitali ya Inselspital katika mji wa Bern, sambamba na mapacha wengine watatu waliozaliwa wakiwa wametengana na wenye afya .
ydia na Maya kwa pamoja walizaliwa wakiwa na uzito wa kilo 2.2 kwa pamoja . Mmoja wao alikua na damu nyingi zaidi , na shinikizo kubwa la damu, huku mwingine akiwa hana damu ya kutosha.
Ilichukua muda wa saa tano kwa Jopo la madaktari 13 waliobobea kukamilisha jitihada za kuwatenganisha mapacha hao mnamo tarehe 10 Disemba.

Wanasayansi waruhusiwa kubadili DNA

Wanasayansi nchini Uingereza wamepewa idhini na idara inayohusika na masuala ya uzazi ya kufanyia viinitete vya binadamu mabadiliko ya kijenetiki.
Wanasayansi hao watafanya utafiti huo katika taasisi ya Francis mjini London.
Utafiti huo una lengo la kutoa uelewa kamili kuhusu siku za kwanza kwanza katika maisha ya binadamu.
Utaanza siku saba za kwanza baada ya kukutana kwa chembe chembe za mme na mke na kuonyesha kile ambacho husababisha mimba kutoka.
Mwaka uliopita wanasayansi nchini China walitangaza kuwa walifanyia mabadiliko ya kijenetiki viini tete vya binadamu kurekebisha hali ambayo husababisha tatizo la damu.
Hatua hiyo imezua maoni tofauti huku baadhi wakisema kuwa kuifayika mabadiliko DNA ni hatua ambayo imeenda mbali zaidi na huenda ikasababisha kuzaliwa watoto waliotengezezwa.