MICHAKATO

Levis Rocky Ndekeno

Pages

Wednesday, May 18, 2016

Twitter yafanya mabadiliko makubwa

Mtandao wa kijamii Twitter yafanya mabadiliko makubwa  katika namna inavyohesababu herufi za tweets na hivyo kuwapa watumiaji uhuru wa kuandika ujumbe mrefu zaidi. Hivi karibuni itaacha kuhesabu picha na link kama sehemu ya herufu 140 za kikomo cha ujumbe unaoandikwa. Mabadiliko hayo yanaweza kuanza kuonekana katika wiki mbili zijazo.


0 comments:

Post a Comment