MICHAKATO

Levis Rocky Ndekeno

Pages

Sunday, January 26, 2014

Vitu 10 usivyovitegemea utakavyojivunza ukifika miaka ya 30

11. Unasahau kwamba haupo kwenye miaka ya 20 tena

Baada ya kumaliza chuo miaka inaanza kuchanganya na kujua umri wako kunakua hakuna umuhimu tena  sababu ya kazi nyingi na maisha kuwa the same so inafikia kipindi unaweza kuwa na miaka 22 kiakili hata kiuchumi lakini kiuhalisia unakua ushafika miaka ya 30.
10. Watu wanaanza kufikiria kuna kitu hakipo sawa kama bado upo SINGLE
Sababu una miaka 30 na zaidi haimaanishi inabidi uwe umeoa au kuolewa. Hiki ni kitu ambacho utapata wakati mgumu kukielezea kwa wazazi wako.

09. Jina lako la katikati linakuwa “Busy” sababu ndio hivyo utakua muda wote
Kama unafamilia basi ndio inakua zaidi na kama hauna kazi pekee inaweza kukufanya uwe busy balaa.
08. Account yako ya facebook itaanza kujaa picha za watoto
haijalishi ni watoto wako au ni wa rafiki zako wanaoamua kukutag picha za watoto wao.duh! noma sana :-)
07. kuinvest kwenye quality itakua muhimu
utatumia pesa zaidi katika kupata nguo nzuri zaidi hat gari nzuri zaidi pia.
06. Mgongo utaanza kukuuma bila sababu
04. Utakua na marafiki walioachika
03. Muziki utakaocheza ni katika harusi na sherehe za ofisi
02. Hautataka kurudi katika miaka ya 20 tena
labda kama ni kurudi na kutumia pesa  zako kwa makini kuwekeza katika miaka ya 30 lakini zaidi ya hapo hautatamani kurudi tena miaka ya 20.
01. Hautangoja kufika miaka ya 40
kwasababu katika miaka ya 40 utakua umeshafanikisha mipango yako yote.

0 comments:

Post a Comment